Skip to main content
Skip to main content

Mahakama yasitisha kwa muda mkataba wa afya wa Kenya-Marekani

  • | Citizen TV
    711 views
    Duration: 1:00
    Mahakama Kuu imesimamisha Kwa muda utekelezaji wa Mkataba wa Ushirikiano wa Afya kati ya Serikali ya Kenya na Serikali ya Marekani, uliotiwa saini tarehe 4 Desemba 2025.