Skip to main content
Skip to main content

Wagonjwa watibiwa kwenye kambi ya bure ya matibabu Alupe kaunti ya Busia

  • | Citizen TV
    228 views
    Duration: 3:35
    Wakazi na hasa wakongwe katika eneobunge la Teso Kusini kaunti ya Busia wamehimizwa kuzingatia usafi wa macho na meno, ili kupunguza idadi ya juu ya magonjwa ya viungo hivyo. Ukosefu wa hamasisho ya usafi wa mwili nyanjani umechangia kusambaa kwa maradhi hayo huku wengi wakikosa kutafuta matibabu.