Skip to main content
Skip to main content

Wavuvi Kilifi washauriwa kudumisha usafi wasikose soko la samaki

  • | Citizen TV
    205 views
    Duration: 2:16
    Mkurugenzi wa taasisi ya Utafiti wa Samaki na Viumbe wa Majini nchini KMFRI Dkt. Paul Orina amewataka wavuvi kudumisha usafi wakati wa uvuvi na utayarishaji wa Samaki.