Skip to main content
Skip to main content

M23 wajiondoa Uvira, lakini je, hii italeta amani mashariki mwa DRC?

  • | BBC Swahili
    9,866 views
    Duration: 8:38
    Kundi la waasi la M23 limetangaza uamuzi wa “kuondoa wanajeshi wake” kutoka mji wa Uvira, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), ambao lilidai kuudhibiti wiki iliyopita. Hatua hiyo imeelezwa kama njia ya kujenga uaminifu na kusaidia mchakato unaoendelea wa amani. #DiraYaDuniaTV