Skip to main content
Skip to main content

Nyumba zaidi ya 30 zimeteketezwa huko Transmara

  • | Citizen TV
    1,502 views
    Duration: 3:07
    Zaidi ya nyumba 30 zilichomwa Transmara kaunti ya Narok huku idadi ya watu wasiojulikana wakiachwa na majeraha kufuatia mapigano mapya yaliyozuka katika eneo la Angata Barrikoi. Mapigano haya ya punde kati ya jamii mbili hasimu zinazoishi eneo hilo yakisababishwa na mzozo wa shamba. Kwa sasa, mamia ya watu wamelazimika kuhamia maeneo yaliyo salama ikiwemo kutafuta hifadhi kwenye shule za eneo hilo.