Skip to main content
Skip to main content

Aliyekuwa naibu kamishna wa Trans Mara Kusini Abdihakim aagizwa kukamatwa

  • | Citizen TV
    3,314 views
    Duration: 2:02
    Mahakama mjini Kilgoris imetoa agizo la kukamatwa kwa aliyekuwa Naibu Kamishna wa Transmara Kusini Abdihakim Muhamud Jubat kwa kosa la kutohudhuria vikao vya mahakama licha ya kuagizwa kufanya hivyo.