Skip to main content
Skip to main content

Watu wanne wafariki kwenye ajali ya barabarani Kajiado

  • | Citizen TV
    6,610 views
    Duration: 1:43
    Watu wanne ambao ni mwendeshaji bodaboda pamoja na abiria wake watatu wameaga dunia baada ya kugongwa na Lori, karibu na mahakama ya Kajiado, kwenye Barabara kuu ya Namanga.