Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa UASU wakosoa usimamizi wa chuo kikuu cha Nairobi

  • | Citizen TV
    550 views
    Duration: 1:56
    Chama cha wahadhiri wa vyuo vikuu UASU tawi la Nairobi kimewaonya wasimamizi wa chuo kikuu cha nairobi dhidi ya kuruhusu uingiliaji wa nje katika kuamua nafasi za kazi za viongozi wakuu. Viongozi wa UASU wamekosoa mchakato wa kutangaza upya nafasi za makamu chansela wakisema mchakato ulioanzishwa mapema mwaka huu haukuwa umekamilishwa vizuri.