Skip to main content
Skip to main content

Uungwaji mkono wa serikali jumuishi umepanda lakini Wakenya wengi bado hawaoni taifa likienda sawa

  • | Citizen TV
    2,615 views
    Duration: 2:11
    Uungwaji mkono wa serikali jumuishi umeongezeka maradufu kati ya mwezi Mei na Novemba. Haya ni kw amujibu wa utafiti uliofanywa na kampuni ya tifa. Utafiti huo hata hivyo unasema kuwa licha ya hayo, asilimia kubwa ya wakenya bado haiungi mkono serikali hiyo ya mseto, inayojumuisha odm. Utafiti wa tifa unasema kuwa wakenya wengi wanahisi kuwa taifa haliendi sawa