Skip to main content
Skip to main content

Ruto atangaza mpango wa ufadhili wa masomo wa Sh500 milioni kila mwaka kusaidia jamii ndogo

  • | Citizen TV
    947 views
    Duration: 1:30
    Rais William Ruto ametangaza kuanzishwa kwa Mpango wa Kitaifa wa Ufadhili wa Masomo wa shilingi milioni mia tano kila mwaka, ili kusaidia jamii ndogo kupata elimu bora ya sekondari na elimu ya juu.