Skip to main content
Skip to main content

Wataalamu wa afya ya akili waandaa matembezi Jijini Nairobi

  • | Citizen TV
    124 views
    Duration: 1:43
    Kundi moja linalojihusisha na kuhamasisha umma kuhusu afya ya akili liliandaa matembezi ya uhamasisho kuhusu maradhi ya hisia zinazobadilikabadilika yaani Bipolar hapa Jijini Nairobi.