Skip to main content
Skip to main content

Mlalamishi ataka IEBC iratibu mipaka kabla ya uchaguzi

  • | Citizen TV
    493 views
    Duration: 38s
    Ombi limewasilishwa katika Mahakama ya Milimani likitaka IEBC izuiwe kuendesha uchaguzi wowote hadi ikamilishe mapitio ya kikatiba ya mipaka ya maeneo ya uchaguzi na wadi. Mlalamishi Philip Kipkemoi Langat anasema mapitio ya mwisho yalifanyika mwaka 2012, kinyume na Ibara ya 89 inayotaka mapya yakamilike Machi 2024. Anadai IEBC haijaanzisha zoezi hilo licha ya kutangazwa Julai 2025, huku uchaguzi mdogo wa Isiolo Kusini ukipangwa Februari 26 mwakani.