Skip to main content
Skip to main content

Msukosuko wa Elimu vyuoni

  • | Citizen TV
    470 views
    Duration: 5:39
    Wahadhiri wanatizamia kupata awamu ya kwanza ya shilingi bilioni 7.9 wanazodai serikali mwezi huu. Hii ni kufuatia serikali kukubali matakwa yao baada ya mgomo uliochukua siku 49 na kukwamisha shughuli zote za masomo katika vyuo vikuu vya umma nchini.