Skip to main content
Skip to main content

Raila atetea ugatuzi

  • | Citizen TV
    479 views
    Duration: 3:32
    Kiongozi wa ODM Raila Odinga ametetea matunda ya ugatuzi huku akitaka pesa zaidi kupewa serikali za kaunti. Akihutubia kongamano la ugatuzi linaloendelea kaunti ya Homa Bay, Raila pia alionekena kuunga mkono msimamo wa rais William Ruto kuhusu kukithiri kwa ufisadi, akisema unalemaza utendakazi wa serikali