Skip to main content
Skip to main content

Mdahalo wa Kura ya Maamuzi: Pendekezo la Mudavadi lazua gumzo nchini

  • | KBC Video
    183 views
    Duration: 3:13
    Shinikizo zinazoendelea za kufanyia katiba marekebisho zimeibua mdahalo mpya nchini huku viongozi wakitofautiana kuhusu iwapo hatua hiyo inastahili au ni tishio kwa katiba mpya iliyoidhinishwa mwaka-2010. Pendekezo lililotolewa hivi majuzi na waziri mwenye mamlaka makuu Musalia Mudavadi limepokea uungwaji mkono kutoka kwa baadhi ya wanasiasa nchini, huku wengine wakisema halifai. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive