Skip to main content
Skip to main content

Ushindi huu ni heshima kwa waliopoteza maisha Oktoba 29

  • | BBC Swahili
    21,967 views
    Duration: 44s
    Kocha mkuu Tanzania Miguel Gamond baada ya kuiwezesha Tanzania kufuzu hatua ya kumi na sita bora kwa mara ya kwanza, Amesema ushindi huu ni muhimu sana kwa soka la Tanzania na mafanikio waliyoyapata anayatoa kama heshima kwa watu walipoteza maisha yao oktoba 29. Loko Omi ametuandalia taarifa hii 📹 @brianmala - - #bbcswahili #soka #oktoba29 #afcon2025 Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw