Skip to main content
Skip to main content

Chama cha UDA chaandaa chaguzi zake za mashinani katika kaunti 20

  • | KBC Video
    269 views
    Duration: 3:15
    Rais William Ruto alishiriki kwenye chaguzi za mashinani za chama chake ambapo alipiga kura yake katika shule ya msingi ya Koilel, kaunti ya Uasin Gishu. Chaguzi hizo ziliandaliwa katika kaunti-20 ambako maafisa-20 walichaguliwa kwenye vituo vya kupiga kura. Akiwahutubia wana chama tawala cha UDA baada ya kupiga kura, rais Ruto aliwapongeza wawaniaji wote kwa kujitokeza kwa wingi wakidhamiria kutoa uongozi mashinani. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive