Skip to main content
Skip to main content

Msaada wa chakula Tana River huku ukame ukiendelea kuathiri maeneo mengi

  • | Citizen TV
    397 views
    Duration: 2:40
    Familia zaidi ya 1700 kutoka eneo la Chewele kaunti ya Tana River zimepokea msaada wa chakula kutoka shirika la msalaba mwekundu ambalo limeshirikiana na mashirika mengine ili kukidhi mahitaji ya uhaba wa chakula kutokana na ukame.