- 419 viewsDuration: 2:55John Kimeu ni Mwanaharakati wa mazingira ambaye amegeuza changamoto ya taka za plastiki kuwa fursa ya kutunza na kupamba mazingira katika kaunti ya Kwale. Kwa mwongo mmoja sasa amekua akikusanya na kutumia chupa, mitungi na mifuko ya plastiki iliyotupwa kupanda miti na maua ya mapambo kama njia moja ya kukabili uchafuzi wa mazingira. Lawrence Ng'ang'a anaarifu zaidi kutoka Kwale.