Ofa nyingine mbali na pendekezo la Vodacom la kununua asilimia 15 ya hisa katika kampuni ya Safaricom kutoka kwa serikali, itazingatiwa. Katibu katika wizara ya fedha dakta Chris Kiptoo amesema ingawa kampuni ya Vodacom iliahidi kununua hisa hizo za Safaricom kwa shilingi 34 kwa hisa moja, pendekezo jingine bora kutoka kwa mwekezaji mwingine yeyote yule, litaangaziwa. Maelezo kamili ni kwenye mseto ufuatao wa habari za biashara.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive