Watoto 9 wa mitaani ni miongoni mwa miili iliyozikwa leo katika kaburi la pamoja katika Makaburi ya Langata jijini Nairobi, kufuatia vifo vilivyoripotiwa mwezi uliopita.Maafisa wa utawala wanasema uchunguzi kuhusu vifo hivyo unaendelea, huku wasiwasi ukiongezeka kuhusu usalama wa familia zinazorandaranda mitaani.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive