31 Jan 2026 8:04 pm | Citizen TV 287 views Duration: 1:35 Kaunti ya Makueni imepiga hatua katika kukabili vifo vya akina mama wanapojifungua pamoja na watoto wachanga. Hii ni kufuatia ushirikiano na wakfu wa mpesa kuikabidhi kaunti hiyo jengo jipya la wodi ya uzazi.