Skip to main content
Skip to main content

Mshukiwa akamatwa na kufikishwa mahakamani marakwet kwa kuteketeza makazi

  • | Citizen TV
    600 views
    Duration: 47s
    Mshukiwa mkuu katika uvamizi wa uchomaji wa nyumba na Uharibifu wa mali katika kijiji Kapkanyar eneo mbunge la Marakwet West Pius Yano alikamatwa na kufikishwa mahakamani jijini Iten.