- 171 viewsDuration: 2:51Waakilishi wadi wanaokaa kwenye Kamati ya kilimo na biashara katika bunge la kaunti ya Murang’a wameitaka serikali kuu kukoma kutelekeza wakulima wa maembe na badala yake watengewe fedha za kupiga jeki kilimo cha tunda hilo ambacho kimeendelea kudorora kutokana na ukosefu wa soko.