Skip to main content
Skip to main content

Familia yaomba usaidizi kuusafirisha mwili wa mpendwa wao kutoka dubai

  • | Citizen TV
    230 views
    Familia moja katika Kijiji cha Rianchogu Bomachoge Chache kaunti ya Kisii inalilia serikali kuwasaidia baada ya mwanao, Frasha OGACHI ONTIRI mwenye umri wa miaka 28 kuaga dunia huko Dubai.