- 5,159 viewsDuration: 2:15Kamati ya seneti kuhusu uhasibu inamhoji gavana wa murang'a Irungu Kang'ata kuhusiana na matumizi ya fedha za kaunti hiyo. Kang'ata amejiwasilisha mbele ya kamati hiyo licha ya baraza la magavana kuapa kuwa magavana hawatahudhuria vikao vya kuhojiwa kuhusiana na utumizi wa pesa za kaunti kw amadai kuwa maseneta wanawaitisha hongo.