Skip to main content
Skip to main content

Mawakili na wanagenzi waandamana kwa madai ya dhuluma LSK

  • | Citizen TV
    521 views
    Duration: 1:38
    Baadhi ya mawakili wamefanya maandamano kulalamikia dhulma za kingono. Mawakili hao, ambao ni wachanga kwenye taaluma hiyo, pamoja na wanagenzi, wanalalamikia kudhulumiwa na baadhi ya mawakili waandamizi. wanasema kuwa hawawezi kukaa kimya ilhali wanapata ugumu wa kufanya kazi zao. aidha wanakitaka chama cha wanasheria nchini kuwalinda kutokana na unyanyasaji wa kingono wakidai kuwa licha ya kuwasilisha malalamishi, LSK imewapuuza waathiriwa.