Skip to main content
Skip to main content

Jamaa aliyeruka katika jukwaa ya rais huko Wajir amekamatwa

  • | Citizen TV
    27,411 views
    Duration: 2:27
    Raia aliyemkimbilia Rais William Ruto jukwaani hapo jana huko Wajir na kuhatarisha maisha ya rais alikamatwa leo na kuhojiwa na maafisa wa polisi wakitaka kujua sababu ya vitendo vyake. Kama anavyoarifu Emmanuel Too, miundo ya majukwaa ya Rais Ruto yamechangia visa hivyo kuongezeka Rais Ruto anapoendelea na kampeni ya kuchaguliwa kwa muhula wa pili.