- 11,725 viewsDuration: 3:16Nao wanasiasa wa mrengo wa ODM unaoongozwa na kinara Oburu Oginga wamepuuzilia mbali mkutano huo ulioongozwa na katibu kuu wa chama hicho Edwin Sifuna huko kitengela wakiutaja kama uasi wa chama hicho. Mrengo huu ukimtaka Sifuna na kundi lake kuondoka chamani na kukoma kutumiwa na wapinzani wao kuvuruga umaarufu wa chama hicho.