Skip to main content
Skip to main content

Nakuru: Upasuaji wa maiti ya, Moses Onyonyi, mwanafunzi wa gradi 8 wabaini chanzo cha kifo chake

  • | NTV Video
    2,009 views
    Duration: 2:29
    Upasuaji wa maiti ya Moses Joseph Onyonyi, mwenye umri wa miaka kumi na minne, aliyefariki dunia baada ya kuanguka akiwa shuleni, umebaini kuwa chanzo cha kifo chake kilihusishwa na hitilafu katika mzunguko wa damu mwilini. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya