Skip to main content
Skip to main content

Familia ya mwanamume aliyeskumwa kutoka kwa basi la abiria yaomba uchunguzi wa kina wa kifo chake

  • | Citizen TV
    17,331 views
    Duration: 2:45
    Familia ya mwanamume aliyeripotiwa kusukumwa kutoka kwenye basi la abiria kwenye barabara ya Kitengela - Namanga sasa inataka uchunguzi wa kina kufanywa kuhusu kifo tata cha jamaa yao. Familia ya Joseph Mureithi inadai kuwa alisukumwa kutoka kwenye basi lililomkanyaga na kisha kuondoka kutoka eneo la tukio. Polisi tayari wamemkata dereva na kondakta wa basi hilo