Skip to main content
Skip to main content

Maraga aahidi kulinda mali ya umma, akiwataka vijana kujisajili kupiga kura

  • | Citizen TV
    171 views
    Duration: 1:03
    Kinara wa chama cha UGM David Maraga amesisitiza umuhimu wa kuzingatia sheria na kuhakikisha fedha za umma hazipotei, ili wakenya wapate huduma kutoka kwa serikali kama inavyostahili .