9 Mar 2026 7:54 pm | Citizen TV 171 views Duration: 1:03 Kinara wa chama cha UGM David Maraga amesisitiza umuhimu wa kuzingatia sheria na kuhakikisha fedha za umma hazipotei, ili wakenya wapate huduma kutoka kwa serikali kama inavyostahili .