Skip to main content
Skip to main content

Wizara ya Hazina ya Kitaifa yazindua mchakato wa bajeti ya mwaka wa 2026-2027

  • | Citizen TV
    287 views
    Duration: 2:13
    Wizara ya Hazina ya Kitaifa imezindua mchakato wa kuunda Bajeti ya mwaka wa 2026-2027. Akizindua hafla hiyo katika ukumbi wa KICC hapa jijini Nairobi, Waziri wa Fedha John Mbadi ameeleza hatua ambazo serikali imepiga kuboresha uchumi wa taifa na mikakati iliyopo ya kuendeleza juhudi hizo.