- 53 views
Jamii zinazoishi katika Pwani ya kenya huathirika kwa njia moja au nyingine, kutokana na mabadiliko ya tabianchi, ambayo hupelekea maji ya bahari kuvunja kingo na kuharibu mashamba na mali zao. Ili kupiga jeki uhifadhi wa mikoko na mazingira kwa jumla, shirika moja lisilokuwa la serikali kwa jina comred, linatoa mikopo kwa makundi ya uhifadhi yaliyosajiliwa, ili kuwapa motisha wanachama. Kufikia sasa makundi mbali mbali yamepokea mikopo, ambayo inajulikana kama Eco-credit ambayo huitumia kujiinua kimaisha huku mazingira yakitunzwa.
Utoaji mikopo kwa makundi wasaidia kuhifadhi mazingira
- 29 May 2025 - During his imprisonment, Kenyan author Ngugi wa Thiong'o decided he would never write in English again, a defiant move that helped put literature in African languages firmly on the map.
- 29 May 2025 - The Czech Republic on Wednesday accused China of being responsible for a "malicious cyber campaign" targeting a network used for unclassified communication at its Foreign Affairs ministry, but China rejected the accusations.
- 29 May 2025 - Ford Motor is recalling nearly 1.1 million vehicles in the United States because rearview cameras may not display images due to a software issue, increasing the risk of a crash.
- 29 May 2025 - Renowned and award-winning author Ngugi Wa Thiong'o has passed away.
- 29 May 2025 - Sean "Diddy" Combs lost a bid for a mistrial in his sex-trafficking case on Wednesday, after his lawyers argued that prosecutors were improperly trying to suggest that the hip-hop mogul had evidence tied to an alleged arson incident destroyed.
- 29 May 2025 - Tony Blair's visit rekindles his key influence in Ruto, Uhuru governments
- 29 May 2025 - Murang'a targets Sh20b in Agribusiness Investment
- 29 May 2025 - Beyond sanitary towels, Kenya needs menstrual leave policy
- 29 May 2025 - DPP has 21 days to decide filmmakers' fate after BBC documentary
- 29 May 2025 - Engineers raise concerns over substandard cement in the market