- 92 views
Jamii ya wanaoishi na ulemavu hasa wasio na uwezo wa kutembea kwa ukosefu wa miguu hupitia changamoto tele kutembea kutoka sehemu moja hadi nyingine. Hata hivyo ilikua ni afueni kwa zaidi ya watoto 50 waishio na ulemavu wa miguu na mikono kutoka sehemu tofauti nchini baada ya wahisani kuwafaa kwa kuwapa vifaa vya kutembea katika hafla ya kufana katika hospitali ya AIC CURE International, ambapo walionufaika walitembea kwa madaha juu ya zulia jekundu huku wakishangiliwa.
Watoto hamsini wamepokea ufadhili wa miguu bandia Kajiado
- 20 May 2025 - Kenya Basketball Federation (KBF) league defending champions Equity Hawks went ahead to crush University of Nairobi (UoN) Dynamites 75-29 in what was more of a one-sided clash at Africa Nazarene University. Hawks asserted their dominance from the…
- 20 May 2025 - EACC arrests Natembeya over graft claims amid public fury
- 20 May 2025 - Obado's Sh505m graft case nears out-of-court deal, DPP says in talks
- 20 May 2025 - We have engaged reverse gear with budget cuts in education, health sectors
- 20 May 2025 - Data tops Safaricom Ethiopia earnings as unit eyes profit
- 20 May 2025 - Questions over reliance on services sector amid shrinking manufacturing
- 20 May 2025 - Puzzle of Eldoret stadium that has gobbled Sh755 million but has no track
- 20 May 2025 - Kenya's GDP growth, budget and policy nightmares
- 20 May 2025 - High Court halts vetting of Ruto's seven IEBC picks by Parliament
- 20 May 2025 - Power imports from region rise by 79pc