- 69 views
Aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua amewapuuza wanaomuita mchochezi, akisema kauli yake kuhusu uchaguzi wa mwaka 2027 ilinukuliwa vibaya. Kwenye kikao na wanahabari leo katika makazi yake mtaani Karen, Gachagua alisema alimakinika kwenye kauli zake na wala hazikunuiwa kufanya uchochezi. Haya yanajiri huku hatibu wa serikali Isaac Mwaura pamoja na viongozi wengine wakimshutumu Gachagua kuhusiana na matamshi yake, wakisema hayawezi kukubalika.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Gachagua ajitetea kuhusiana na matamshi yake
- 20 May 2025 - Kenya Basketball Federation (KBF) league defending champions Equity Hawks went ahead to crush University of Nairobi (UoN) Dynamites 75-29 in what was more of a one-sided clash at Africa Nazarene University. Hawks asserted their dominance from the…
- 20 May 2025 - Lissu, the outspoken leader of the opposition party CHADEMA, is facing treason charges, alongside accusations of economic sabotage and incitement.
- 20 May 2025 - EACC arrests Natembeya over graft claims amid public fury
- 20 May 2025 - We have engaged reverse gear with budget cuts in education, health sectors
- 20 May 2025 - Data tops Safaricom Ethiopia earnings as unit eyes profit
- 20 May 2025 - Questions over reliance on services sector amid shrinking manufacturing
- 20 May 2025 - Puzzle of Eldoret stadium that has gobbled Sh755 million but has no track
- 20 May 2025 - Kenya's GDP growth, budget and policy nightmares
- 20 May 2025 - High Court halts vetting of Ruto's seven IEBC picks by Parliament
- 20 May 2025 - Power imports from region rise by 79pc