- 15 views
waziri wa ardhi na nyumba Alice Wahome anasema zaidi ya nyumba 2000 za mpango wa Nyumba za Gharama Nafuu zinakaribia kukamilika na zitakabidhiwa wenyewe katika muda wa majuma kadhaa yajayo. Akiongea katika shule ya msingi ya Thindigua wakati wa uzinduzi wa madarasa manne yaliyofadhiliwa na wizara hiyo, Wahome alisema tayari nyumba 1000 katika mtaa wa Mukuru Kwa Reuben jijini Nairobi zimekamilika na zitakabidhiwa wenyewe siku ya Jumanne.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Zaidi ya nyumba 2000 za gharama nafuu zaelekea kukamilika
- 20 May 2025 - Kenya Basketball Federation (KBF) league defending champions Equity Hawks went ahead to crush University of Nairobi (UoN) Dynamites 75-29 in what was more of a one-sided clash at Africa Nazarene University. Hawks asserted their dominance from the…
- 20 May 2025 - EACC arrests Natembeya over graft claims amid public fury
- 20 May 2025 - Puzzle of Eldoret stadium that has gobbled Sh755 million but has no track
- 20 May 2025 - Kenya's GDP growth, budget and policy nightmares
- 20 May 2025 - High Court halts vetting of Ruto's seven IEBC picks by Parliament
- 20 May 2025 - Power imports from region rise by 79pc
- 20 May 2025 - Can Kenya break the cycle? The search for credible leadership ahead of 2027
- 20 May 2025 - Why Narok airport is not a key pick for aviation sector players
- 20 May 2025 - 'We held hands waiting to die': Father recounts horror of Mathare fire
- 20 May 2025 - Governors push back on UHC payroll transfer