- 62 views
Wakati dunia iliadhimisha siku ya figo duniani tarehe 9 machi mwaka huu, iliibuka kuwa ugonjwa huo pia unawaathiri watoto wachanga wanaozaliwa. kisa kimoja kama hicho kimeripotiwa katika hospitali ya kakuyuni level 4, Matungulu, kaunti ya Machakos, ambapo mtoto wa wiki moja (sasa ana umri wa miezi miwili) nusura afanyiwe usafishaji wa figo yaani (dialysis) kutokana na kushindwa kwa figo. Hii imewaacha madaktari katika kaunti hiyo wakijikuna vichwa wakielekeza mawazo yao zaidi kwa watoto wanaozaliwa na ugonjwa huu.
Ugonjwa wa figo unaowaathiri watoto wachanga wanaozaliwa
- 20 May 2025 - Kenya Basketball Federation (KBF) league defending champions Equity Hawks went ahead to crush University of Nairobi (UoN) Dynamites 75-29 in what was more of a one-sided clash at Africa Nazarene University. Hawks asserted their dominance from the…
- 20 May 2025 - Lissu, the outspoken leader of the opposition party CHADEMA, is facing treason charges, alongside accusations of economic sabotage and incitement.
- 20 May 2025 - EACC arrests Natembeya over graft claims amid public fury
- 20 May 2025 - High Court halts vetting of Ruto's seven IEBC picks by Parliament
- 20 May 2025 - Power imports from region rise by 79pc
- 20 May 2025 - Can Kenya break the cycle? The search for credible leadership ahead of 2027
- 20 May 2025 - Why Narok airport is not a key pick for aviation sector players
- 20 May 2025 - 'We held hands waiting to die': Father recounts horror of Mathare fire
- 20 May 2025 - Governors push back on UHC payroll transfer
- 20 May 2025 - New-look Afraha Stadium hosts first competitive match since 2021