Skip to main content
Skip to main content

Wataalamu wa hali ya hewa watoa tahadhari kuhusu ukame unaotarajiwa katika kaunti ya Kajiado

  • | NTV Video
    55 views
    Duration: 1:35
    Wataalamu wa hali ya hewa wametoa tahadhari kuhusu ukame unaotarajiwa katika kaunti ya Kajiado. Wafugaji katika kaunti hio wameonywa kuzingatia mikakati ya kukabiliana na ukame huo, ambao unaotarajiwa mwishoni mwa mwaka huu. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya