- 266 views
Hatua ya kuwashirikisha kina mama katika vita dhidi ya ugaidi katika kaunti ya Garissa imetajwa kama njia bora zaidi ya kupambana na tatizo la kiusalama kwa kutumia vikundi vyao. Wakizungumza wakati wa kuzindua mpango utakaotumika na kina mama kutoka kaunti ndogo ya Dadaab kukabiliana na kero ya ugaidi, wakuu wa usalama na vikundi vya kijamii wamesema kina mama wana uwezo wa kutambua vikundi vinavyosajili vijana kwenye mitandao ya ugaidi kwa urahisi kutokana na kuwepo kwao vijijini kila mara. Aidha, serikali kwa upande wake imehaidi kuunga mkono juhudi hizo za kina mama hao kuhakikisha kuwa hali ya usalama imerejea katika maeneo ya mipakani.
Kina mama washirikishwa katika vita dhidi ya ugaidi katika kaunti ya Garissa
- » MP Koech: Officers who included Kemosi in list of ambassadorial appointees should be held accountable6 May 2024 - Belgut MP Nelson Koech wants officers who included the name of Kenya's High Commissioner to Ghana nominee, Vincent Kemosi, in the appointee list to be held accountable.
- 6 May 2024 - The government has warned schools across the country against re-opening following the flood crisis occasioned by the ongoing heavy rains.
- 6 May 2024 - Reading Time: < 1 minute Following rescue missions by a multi-agency team, a total of 1,048 people have been rescued from Baringo South, which was […]
- 6 May 2024 - The Kenya Urban Roads Authority (KURA) has closed UN-Avenue, Runda due to the rising water levels on the road following the heavy downpour experienced Sunday night.
- 6 May 2024 - Cyclones and tornadoes are both powerful weather phenomena, but they have distinct characteristics.
- 6 May 2024 - Abdi says their unity efforts will have a positive impact on the lives of residents.
- 6 May 2024 - Cumulatively, 223,198 people have been affected by floods in Kenya.
- 6 May 2024 - The floods in Kenya continue to wreak havoc, killing people and leaving many others displaced.
- 6 May 2024 - Dig Deep (Africa) and the County Government of Bomet on Saturday, April 4, 2024, launched the Water Sanitation and Hygiene (WASH) Hub that will enable learning in the sector. Speaking during the launch, Dig Deep (Africa) Head of Programmes Justus Tanui…
- 6 May 2024 - The US embassy also laid down the step-by-step procedure on how to ensure your appointment is not cancelled.