- 287 views
Ni afueni kwa Msajili wa Mahakama Anne Amadi baada ya mahakama kutupilia mbali agizo la kufungwa kwa akaunti zake. Hii inamanisha kuwa amadi sasa ataweza kutumia akaunti zake ambazo zilikuwa zimefungw amwezi uliopita kufuatia kesi ya dhahabu ghushi. Jaji Alfred Mabeya amesema kuwa hakukuwa na ushahidikuwa amadi alihusika na shughuli zilizokuwa zikiendeshwa na kampuni ya uwakili ya Amadi and Amadi Associates au kuwa alifaidi pesa hizo. Kampuni moja ya Dubai imemtaja Amadi na mwanawe Brian Ochieng kwenye kesi ambapo kampuni hiyo inadai kulipa shilingi milioni 89 kununua kilo 1,500 za dhahabu ila haikupata dhahabu hiyo.
Msajili wa mahakama Anne Amadi apata afueni
- 5 Aug 2025 - Quickmart Supermarket has suspended staff members involved in an altercation with two customers at its Buruburu branch, following allegations of mistreatment.
- 5 Aug 2025 - Quickmart Supermarket has suspended staff members involved in an altercation with two customers at its Buruburu branch, following allegations of mistreatment.
- 5 Aug 2025 - The Democracy for Citizens Party (DCP) led by former Deputy President Rigathi Gachagua, has officially unveiled its candidates for several upcoming by-elections.
- 5 Aug 2025 - Siaya County Deputy Governor William Oduol now proposes a dialogue to unlock the growing impasse between him and Governor James Orengo.
- 5 Aug 2025 - KMPDU has demanded the immediate shutdown of 13 hospitals in Kiambu County, citing a worsening healthcare crisis as the doctors’ strike in the devolved unit enters its 71st day.
- 5 Aug 2025 - Siaya Deputy Governor William Oduol has broken his silence over leadership wrangles rocking the county.
- 5 Aug 2025 - The incident, captured in a video that has since gone viral, shows two customers describing their experience
- 5 Aug 2025 - EACC National Ethics and Corruption survey of 2024
- 5 Aug 2025 - The feature is set to revolutionalise how the messaging platform works.
- 5 Aug 2025 - Ms Wanyeki said that over the past five and a half years in Toronto, she has been running a gospel ministry.