- 483 views
Naibu Rais Rigathi Gachagua ameendeleza wito wa umoja wa viongozi wa Mlima Kenya, huku migawanyiko ikiendelea kudhihirika miongoni mwao. Akiongoza hafla ya kuchangisha pesa katika kaunti ya Meru, Naibu Rais pia ameonya kuhusu mzozo wa uongozi unaoendelea katika kaunti hii kati ya Gavana Kawira Mwangaza na wawakilishi wodi. Naibu Rais Gachagua akisema, ofisi yake haitaingilia mzozo huo akiwataka viongozi wenyewe kutafuta suluhu. Wakati huo huo, Naibu Rais pia ameendelea kuonya madalali wanaotatiza sekta ya kahawa Mlima Kenya
Naibu Rais Rigathi Gachagua atoa wito wa umoja wa viongozi Mlimani Kenya
- 22 Jul 2025 - Stephen Munyakho, the Kenyan man who faced execution in Saudi Arabia, has been freed and is set to travel back home, Foreign Affairs Principal Secretary Korir Sing’oei announced on Tuesday.
- 22 Jul 2025 - The majority of MPs gave a go-ahead to the proposal.
- » MP Mukunji sues IG Kanja, DCI Amin, DPP Ingonga for misuse of Anti-Terror law to crush gov’t critics22 Jul 2025 - Manyatta Member of Parliament Gitonga Mukunji has filed a petition against the Inspector General of Police Kanja, the Director of Criminal Investigations (DCI) Amin, and the Director of Public Prosecutions (DPP) Ingonga, over his arrest during the Saba…
- 22 Jul 2025 - One SACCO has a debt of Ksh 377.5 million
- 22 Jul 2025 - The Russian Federation has in recent times been keen on enhancing its foreign policy in Africa, which involves a multifaceted approach that includes, among others, economic partnerships, especially in agriculture and food security.
- 22 Jul 2025 - Baza ("Base") specialises in criminal news, has more than 1.5 million subscribers on Telegram, and is known to have good sources within law enforcement agencies.
- 22 Jul 2025 - The law changes will also affect what's taught in school.
- 22 Jul 2025 - The accident caused a major snarl-up, forcing motorists to seek alternative routes
- 22 Jul 2025 - Neither model scored full marks -- unlike five young people at the International Mathematical Olympiad (IMO), a prestigious annual competition where participants must be under 20 years old.
- 22 Jul 2025 - Kenya’s exit marks the third country to withdrawal from the tournament