Skip to main content
Skip to main content

Msichana aliyedhaniwa kufariki aibukia Kisii

  • | Citizen TV
    3,457 views
    Duration: 3:09
    Msichana aliyedhaniwa kuzikwa miezi minane iliyopita ameduwaza kijiji kizima huko Nyaribari Chache baada ya kurejea nyumbani akiwa mzima. Sarah Kwamboka amejitokeza baada ya mazishi yake kuandaliwa mwezi Februari mwaka huu, baada ya kuripotiwa kuhusika kwenye ajali ya barabarani.