Skip to main content
Skip to main content

Kenya yaelekea Ethiopia kwa mechi za kufuzu U20

  • | Citizen TV
    138 views
    Duration: 52s
    Timu ya wanawake ya kenya chini ya miaka 20, rising starlets waliondoka kwenda Ethiopia kabla ya mechi yao ya kufuzu kwa kombe la dunia la fifa chini ya miaka 20 dhidi ya wenyeji siku ya Jumapili mjini addis ababa, Ethiopia.