Skip to main content
Skip to main content

Polisi mjini Maralal wamkamata mshukiwa wa wizi kwa kamera za CCTV

  • | Citizen TV
    10,146 views
    Duration: 3:25
    Maafisa wa usalama katika kaunti ya Samburu,,wamemtia mbaroni mshukiwa mmoja wa wizi wa kimabavu,anayeamika kuongoza kikosi Cha wahuni waliojihami Kwa bunduki. Watuhumiwa walivamia duka moja mjini Maralal, wakamjeruhi mhudumu wa duka hilo na kutoweka na shilingi Elfu themanini na tano siku chache zilizopita