Skip to main content
Skip to main content

Wabunge wa Trans Nzoia wahofia kuwa mahindi yatakosa soko

  • | Citizen TV
    309 views
    Duration: 1:27
    Wabunge kutoka Kaunti ya Trans Nzoia wameeleza wasiwasi wao kuwa huenda wakulima wa mahindi wasipate faida licha ya bidii yao, kutokana na serikali kushindwa kuweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha wanapata soko la uhakika msimu huu wa mavuno.