Skip to main content
Skip to main content

Shirika la World Vision lashirikiana na kaunti ya Kitui kwenye miradi ya maji

  • | Citizen TV
    231 views
    Duration: 1:03
    Ni afueni kwa wakazi wa kitui kusini baada ya serikali ya kaunti ya kitui kwa ushirikiano na shirika la World Vision kuzindua mradi wa maji wa Kangukangu . Mradi huo umegharimu kima cha shillingi million 840, serikali ya kitui ikichangia asilimia 51 na shirika la world vision asilimia 49. huu Ni mojawapo ya miradi mikubwa kitui kusini itakayosaidia wakazi kumaliza tatizo la ukosefu wa maji.