Skip to main content
Skip to main content

Mbunge wa Teso Kaskazini Oku Kaunya ateuliwa kuwa msemaji wa Iteso

  • | Citizen TV
    512 views
    Duration: 3:10
    Kama mojawapo ya njia za kuileta pamoja jamii yenye watu wachache na iliyotengwa ya iteso, wazee wa jamii hiyo wamemuidhinisha mbunge wa Teso Kaskazini Oku Kaunya kuwa msemaji wa jamii hiyo ili kupata usemi nchini.