Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Shanzu Kisauni kaunti ya Mombasa kupewa hatimiliki ili kuzima migogoro ya ardhi

  • | Citizen TV
    365 views
    Duration: 1:48
    Serikali ya Kaunti ya Mombasa, imeanzisha mchakato wa kufadhili utoaji hati miliki kwa maskwota ili kuondoa taharuki na migogoro ya kila mara kuhusu umiliki wa ardhi eneo la Shanzu Kisauni.