Skip to main content
Skip to main content

Watu 16 walifariki kwenye ajali barabarani ya Nakuru-Nairobi

  • | Citizen TV
    9,117 views
    Duration: 5:22
    Upasuaji wa miili kumi na nne ya watu waliofariki kwenye ajali ya siku ya jumapili eneo la kariandusi Kikopey kaunti ya Nakuru inaendelea Katika hospitali ya Gilgil kaunti ya Nakuru, sasa hivi miili ya watu sita ikiwa tayari imefanyiwa upasuaji